We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka
Budako ana mikono ngumu, akishika kobole, inampatia change ya mafeeu
Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
nasikia we niweusi hadi una aribia makka fashion