naskia shosh Yako Ako na mbio Hadi kwa mlango ameekewa bams
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva
unakichwa bigi hadi ukidream unadream 7 in 1
eti uko so shy hadi gotha yako iko na collar