Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
ngozi ya nyanyako in tight mpaka akifunga jicho moja mguu inainuka
Wewe ni mshort mpaka ukikalia kwa pavement miguu ina hang kwa hewa