Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Wewe ni mweusi mpaka ukitumia mtu Selfie inajiandika scratch to reveal.
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers
ety ww n mrefu Hadi unagotea mungu
Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi