Mathako ni mshamba mpaka the first time alipanda mathree alitandika vitambaa
kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.
Aty weni mchoyo adi uki enda kwa jirani upate maji ya mchele wana hi badilisa ina kuwa yamtoi kuoga
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"
ati wewe ni mblacki Hadi China ilikata iliku tengeneza