Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.
Na skia ww ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis
Ati we ni mchoyo mpaka line yako ya YU inaitwa ME
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”