Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport
Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo
Budako mblack akilala kwa road madere wanafikiri ni speed bump
Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.
Ati wewe bu mweusi sana hadi ukikaa kwa ukuta una kaa shortcut 😂🤣