Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
Budako amevaa ngotha moja folong mbaka siku aliitoa ikaanguka halafu ikapasuka kaa nyungu
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon