naskia ukona mdomo kubwa hadi unakula ovacado kama njugu
Naskianga ati damu yako ni tamu jo, hadi mosquito zinakamingi na mandazi..!!
naskia shosh Yako Ako na mbio Hadi kwa mlango ameekewa bams
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Chali yako ni mkonda alibloiwa na wind mpaka S.Africa na hana passport