nilisikia ati kwenyu mkowengi hadi mbuyu wako akimcome badala ya kusema habari yenu anasema my fellow Kenyans!
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.