Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Budako uhepa gumbaru, anaenda kuangalia tractor ikikata manyasi
Aty weni mchoyo adi uki enda kwa jirani upate maji ya mchele wana hi badilisa ina kuwa yamtoi kuoga
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Umekonda mbaya mkicheza birikicho unajifichanga Kwa sindano