Abraham Mbugua
@abraham_mbugua
·
a rich man
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Nasikia we ni mkonde mpaka uki turn una disappear
Weh ni mnono mpaka bed yako ikona zgwembe.
We mchafu mpaka mahindi zimegrow kwa armpits na ukijikuna zinageuka unga
una masikio big ukiwa mtoi ulikuwa unabebwa kaa trophy