Mkuu Benah
@user3421
·
natakujua zaid
Nyanyako ni mdedli karate mpaka wasee wa F2 wakamchora ka baunsa
Asubuhi Asubuhi Patco na mapera
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
naskia baba yako ni mlafi hadi huwa ana ficha gither kwa warlet
Nyinyi ni wengi kwenu mpaka mlango ikifunguliwa munamwagika nje.