First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
Kwenyu kuchafu mpaka mende zenu ni oboho, ati wanaambia wale new wakae ridho kwa kitchen
wewe ni mrefu hadi una magoti tatu kama ngamia
Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
Fathako mchafu mbaka ana mtaro kwa kifua