Ati naskia shosh yako ni mzee hadi anapigwa shock na Moshi ya ugali 😂😂
Ati umesota mpaka mwizi akikam kuiba anaiba duster
Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
Wewe ni miser mpaka ukiwa kwa KBS back seat ukiitishwa doo unapoint nyuma
uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon