We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Kwenu mko wengi hata mkienda dining room mnaingia na gate pass
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
Wewe ni mweusi tu sana mpaka ukitupiwa mawe zinarudi zikisema hazijakucheki.
We mchafu mpaka nzi ikikulandia inavaa slippers