NEWBIE 254
@user1593
·
Shtuka
We ni mkonde hadi ukiegemea ukuta inaonekana ni kama Kuna crack.
Kwenu muko wadosi mpaka kuku zenu zinafanya aerobics saa kumi na kunywa juice instead ya maji
We ni mrefu mpaka ukichoka kaa unatembea mtaani unajisupport na wire za simu
Una kichwa kubwa mpaka dream zako zushow in dolby surround.
Ati umesota mpaka mwizi akikam kuiba anaiba duster