ati we ni mkonde Hadi una miss mvua
We ni mkonda hadi uki dance helicopter una take off…
We ni mblack mpaka ukisimama karibu na ukuta ya white watu wanafikiria eti ni shortcut wapitie thru hiyo shimo
Ati wewe mweusi tu sana mpaka hauna bright ideas.
Kwenyu muko wengi, ukifungua mlango watu watatu wanadunda inje