Unamatako kubwa mpaka watu hupata marao na kuidandia kama mathree
we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu
First time yako kuona train ulithani ni nyoka ya Mabati 😂
First time yako kununua ballgum mtu wa duka akakipea ya green ukasema nope ile imeiva