Nyanyako ni kipofu lakini mwachie kwa kuchagua ngotha za valentine
Mathako mnono akikalia kobole Moi hutoa makamasi
Ati uko na mdomo biggy hadi ungekuwa muimbaji ungetoa collabo pekee yako.
Asubuhi asubuhi mabuyu na cools
TV yenu ndogo na nyinyi ni wengi mpaka mkitaka kuiona nyi wote lazima kila mtu afunge macho moja