Asubuhi asubuhi mabuyu na cools
We ni mnatty hadi ukiswitch on nokia yako,badala ya hizo mikono kusalimiana,ziugota.
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch
kwenu mko wengi hadi mkipakuliwa dishi mwenye amekula fiti ni mwenye amelamba mwiko.
Mmesota hadi nyi hukula ugali na story za nyama