we ni mblaki Hadi damu inasaculate kwA mwili yako na torch
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
Manzi yako ni mkonda hadi mukienda kupanda mat unaambiwa”pole buda lakini hatubebi miwa”
Ati kwenu nyinyi wachafu mpaka mkimaliza kuoga sabuni inawasengenya
nasikia weni mweusi hadi una aribia makka fashion