umenona hadi ukivaa t-shirt ya green unakaa kibanda ya mpesa
Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima
Nyanyako hana meno lakini ni mdedli kwa kufungua chupa ya coke
Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”
Wewe ni mrefu mpaka ni wewe huongezea jua makaa