Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma
Nasikia we ni mkonde mpaka uki turn una disappear
ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..
auna nywele mbaka ukienda Kwa kinyozi una ambiwa boss atu nyoi matako
Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic