Nyinyi m-mesota mpaka mna-kunywanga chai na kifuniko ya Bic
nasikia wewe ni mfupi mpaka wajua pahali shetani anaficha chupi
wewe ni mkonde mpaka ukisimama Kwa wall unakaa crack
Mapua zako bigi, ukingia class charts zinaanza kudunda
Wewe ni mgreedy mpaka mother-ko akiwa na ball yako akipika chapo siku moja, ulichomoa mkono ukasema "nigeee!"