Vile nyinyi wagesi, budako akishika ten shillings, ati Moi ana baki na vest
uko na nywele moja moja kama shamba ya cartoon
Ati wewe ni mzee hadi ukizaliwa “OLD TESTAMENT” ilikuwa inaitwa “TESTAMENT”
huyu chali ni fala mara yake ya kwanza kumwaga alienda kwa doctor akidaisha nini yake ina homa
Budako uhepa job kwenda kucheza katii na mboch