Mchongoano

ati ndoto zako ni noma mpaka zi huanza… previously on..

Origin:

Likes: 11

More..

uko na ngozi tight mpaka ukikunja ngumi macho infunguka.

Origin:

Likes: 9

More..

Nyumba yenu imejengwa na ugali, wezi wakikuja wanasema “fungueni ama tutarudi na sukuma”

Origin:

Likes: 8

More..

nyumba yenu imetengenezwa na matope.

Origin:

Likes: 4

More..

wee ni mnono hadi ukikalia novel zinakuwa short stories!

Origin:

Likes: 9

More..

kwenu nyinyi ni wezi hadi Ali baba and the 40 thieves walikam attacho kwenu.

Origin:

Likes: 6

More..

We ni mweusi hadi ukipita karibu na plants zinadhani ni Dark Stage photosynthesis

Origin:

Likes: 7

More..

Dame yako amekonda hadi yeye huchungulia kwa key hole na macho zote mbili.

Origin:

Likes: 5

More..

kwenu ni ocha sana hadi sms ikifika unaipanguza vumbi

Origin:

Likes: 24

More..

wewe ni mweusi mpaka wameandika “scratch to reveal” kwa I.D yako

Origin:

Likes: 11

More..