Mchongoano

Budako amechizi, underwear yake imechorwa Saitoti akiosha viombo

Origin:

Likes: 1

More..

We mblack mpaka ukikutana na mzungu afternoon anakushow "Good evening?"

Origin:

Likes: 1

More..

Mbuyu wako ni mrefu mpaka anauzia wasee wa ndege mahindi ya kuchoma

Origin:

Likes: 0

More..

Kwenyu nyinyi wachoyo mpaka mkipika kuku mnakula kama hamjawasha stima

Origin:

Likes: 2

More..

Tv yenyu nzee mpaka mkishuta kwa hao wasee wa kbc wanafunga mapua

Origin:

Likes: 2

More..

Ngozi ya nyanyako ni tight mpaka aki wink, mguu yake inainuka

Origin:

Likes: 0

More..

Dogi yenyu mzee mpaka kauzi aki'come,yumtemea mate

Origin:

Likes: 0

More..

Una kichwa so mpaka ukiwa nasaa venye watu walikuwa wakiimba hedi,shoulder....wewe ulikuwa ukiimba.. hedi,hedi hedi,hedi

Origin:

Likes: 0

More..

Ati ulikuwa na bro wako kejani ukiskiza redio halafu mtangazaji akasema ati tunawapeleka moja kwa moja hadi uwanja wa uhuru park. Ati kuskia hivyo mkadandia redio.

Origin:

Likes: 1

More..

Asubuhi Asubuhi avocado na arufu ya vitungu

Origin:

Likes: 0

More..